ARSENAL YALALA 2-0 KWA MAN CITY


James Milner wa Manchester City (kulia) akishangilia bao lake la kwanza dhidi ya Arsenal katika mchezo wao uliopigwa kwenye Uwanja wa Emirates jijini London leo. Man City wameshinda 2-0. Kushoto ni Lukas Podolski wa Arsenal.
Edin Dzeko wa Manchester City akishangilia baada ya kuifungia timu yake bao la pili na kufanya matokeo kuwa 2-0.
Jack Wilshere wa Arsenal (kushoto) akijaribu kumtoka David Silva wa Manchester City wakati wa mpambano wao uliomalizika kwa Man City kuibuka kidedea kwa bao 2-0.
(PICHA KWA HISANI YA EPA NA REUTERS)


Twitter Delicious Facebook Digg Favorites More