DULLY SYKES ALAZIMIKA KUWAOMBA RADHI MASHABIKI WAKE KUFUATIA TUHUMA ZINAZOMKABILI BAUNSA WAKE "ARAFAT NGUMI JIWE" ZA KUMLAWITI MTOTO…!

  http://dartalk.com/wp-content/uploads/2013/01/dully.jpg

BAADA ya tuhuma za hivi karibuni zinazomkabili baunsa wa msanii Dully Sykes , anayefahamika kama Arafat Ngumi Jiwe, za kumfanyia majamboz "kumlawiti" mtoto, sasa msanii huyo ameamua kuwaambia mashabiki wake kuwa amestushwa na ishu hiyo kwani alikuwa hajui kama jamaa ana tabia hiyo chafu hivyo anawasihi watanzania wote kujua kwamba hajui lolote juu ya hilo na kwa sasa hawezi kuendelea kufanya naye kazi ili kujitoa kwenye ishu hiyo chafu.

Tuhuma za baunsa huyo kumlawiti mtoto zinaweza kuwa na picha mbaya kwa msanii huyo kwani watu wamemfahamu bausa huyo kupitia Dully, hivi sasa anatafuta mtu mwingine ambaye anaweza kuchukua nafasi hiyo.


Twitter Delicious Facebook Digg Favorites More