Ni nini kigezo cha mke anayefaa kuolewa?

Salaamu wana Udaku ,nakuja na wazo lingine likitaka ushauri wenu wa kina. Je ni ipi sifa nzuri zaida ya zote kwa mwanamke wa kuoa, je ni mwenye sura nzuri na maumbile yenye mvuto au ni mwenye tabia nzuri hata kama hana maumbile yenye mvuto?

udaku


Twitter Delicious Facebook Digg Favorites More