LADY JAYDEE AENDELEA VYEMA NA SAFARI YA KUUPANDA MLMA KILIMANJARO...




Leo ni siku ya nne ya safari ya Lady Jaydee na mume wake Gadner kuupanda Mlima Kilimanjaro. Kwa mujibu wa picha kutoka kwenye blog ya kilidovetour wanaiongoza safari hiyo, wote wanaonekana kuwa ngangari wasiokuwa na hata chembe moja ya kurudi nyuma.
DSC01402 (640x480) 


Safari si nyepesi!!

Safari bado!

Hakuna kurudi nyuma
 Iron lady!!
Iron lady!!

DSC01443 (640x480) 

Gadner 
 Gadner.
Binti Komando 
Hakuna kurudi nyuma.
DSC01496 (640x480) 
DSC01497 (640x480) 

Jide, Gadner na mpiga picha wao 
Jide, Gadner na mpiga picha wao.
Bado tuko gado 
Bado tupo poa!!!
DSC01512 (640x480) 
Gadner na Jide wakipumzika kidogo kupata hewa 
Gadner na Jide wakipumzika kidogo kupata hewa.
DSC01516 (640x480) 

Maendeleo ya safari yao:

January 8 – Mandara Hut(2700m) – Horombo Hut(3720m)
Masaa ya kutembea: 5
January 9: Acclimatization Day at Horombo Hut
Masaa ya kutembea: 4
January 10: Horombo Hut(3720m) – Kibo Hut(4703m)
Masaa ya kutembea: 5
Baadaye leo waanza safari ya kuelekea Uhuru Peak(5895m) kupitia Gillman’s point(5685m)


Hali zao kiafya

Gadner, Lady Jaydee na mpiga picha wao Justin wako f
it na wana uwezo wa kuendelea hadi kituo kinachofuata.

   

 


Twitter Delicious Facebook Digg Favorites More