NIMEMFUMA MKE WANGU NA JAMAA HALAFU ANANIAMBIA NDIYE ALIYE MTOA BIKIRA....!

Nimemkamata mke wangu na jamaa halafu ananiambia ndiye aliyemtoa bikira eti huwa hamsahau kila wakikutana huwa anampa. Jamani kuna haki hapo kweli....Kwani wanawake wote ndo wako hivyo ? wanapokutana na walio watoa bikira wananywea kama mbwa kaona Chatu...Ama mchaga wa kishimuda na we niagushe tuuuu...? Naomba ushauri jamani.


Twitter Delicious Facebook Digg Favorites More