MAMA Majanga, Snura Mushi amefunguka kuwa katika maisha yake, hahusudu masuala ya kishirikina.
Snura Mushi 'Mamaa Majanga'.
Akizungumza na paparazi wetu baada ya kuvuja kwa picha zilizomuonesha
akiwa kwa mganga, Snura alisema hazikuwa kwa mganga wa kweli kwani yeye
haamani mambo ya kishirikina.
“Mimi na ushirikina ni vitu viwili tofauti, namtegemea zaidi Mungu katika maisha yangu, hata hizo picha zilizovuja sikuwa kwa mganga wa kweli bali ilikuwa naigiza filamu,” alisema Snura.
“Mimi na ushirikina ni vitu viwili tofauti, namtegemea zaidi Mungu katika maisha yangu, hata hizo picha zilizovuja sikuwa kwa mganga wa kweli bali ilikuwa naigiza filamu,” alisema Snura.