Mafanikio
yoyote huja kwa mipangilia na maandalizi.Hivyo ndivyo ninavyoweza
kumzungumzia Irene Kanka "19" ambae aliwahi kuwa mshindi namba nne
kwenye kinyang'anyilo cha kumtafua Miss Temeke 2011.
IRENE KANKA.......
Irene ni
mtoto wa tatu kati ya watoto watano kwenye familia ya mzee Kanka
inayoiishi Singida.Mrembo huyo kwa sasa anaongoza kupiga mkwanja mrefu
kwenye dili za matangazo kwenye mitandao mikubwa kama Voda Com,Tigo na
Airtel na kampuni nyinginezo.
Irine licha ya kupiga bao kazi hiyo ya
kuuza sura kwenye matangazo lakini pia amemudu vyema kuigiza hali
inayowatia hofu mastaa wakubwa kwenye fani hiyo.
IRENE KANKA: MREMBO ANAYEONGOZA KUPIGA MKWANJA KWA KUUZA SURA KATIKA MITANDAO MIKUBWA
5:18 AM
Anonymous