Masaa
takribani matano mabomu ya machozi na risasi za moto zinasikika mataili
yamechomwa barabarani maduka yote yamefungwa...
Ni mshikemshike kati ya vyombo vya dola na raia hadi sasa msikiti mmoja umechomwa moto maeneo ya mwaka na kisimani
Hali ni mbaya zaidi kwan mabomu ya mochozi yanapigwa hadi vyumbani.
Imetollewa amri watu wote walale majumbani kwao
Chanzo cha tatizo ni waislamu na wakristo.Wametofautiana juu ya suala na kuchinja...
