Habari
za weekend wadau, pamoja na mipasho ya habari mbalimbali za kisiasa na
matukio ya hapa na pale, si mbaya pia tukiangalia na upande wa pili wa
shilingi, nikiwa na maana ya udaku na burudani….
Inawezekana ukawa hupendi udaku, lakini naamini kuna wanaopenda, hivyo si vizuri kuwakatili…
Hapo
chini kuna picha kadhaa za muonekano wa mwanadada Loveness Diva, mrembo
ambaye amewahi
wafanya akina dada wa Kenya wamchukie baada ya kumnasa
kimapenzi msanii maarufu Nchini Kenya maarufu ka jina la Prezzo…
HAKIKA HIZI PICHA ZA DIVA WA CLOUDS FM NI FULL MITEGO,,,, CHEKI HAPA
10:43 AM
Anonymous