skip to main |
skip to sidebar

9:28 AM

Anonymous
STAA
wa filamu Bongo Elizabeth Michael ‘Lulu’ amesema hajawahi kufungua
akaunti kwenye Mtandao wa Kijamii wa Facebook ‘FB’ na kwamba aliyefungua
kwa jina lake ana nia ya kuwaibia mashabiki wake.
Staa wa filamu Bongo, Elizabeth Michael ‘Lulu’.
Akizungumzia akaunti hiyo inayoonekana ni feki yenye sura ya
kuwaingiza mjini mashabiki wake, Lulu alisema haitambui na wanaokubali
kujiunga na ‘Lulu’ huyo wanataka kuibiwa.
“Hee nashangaa kwa kweli, yaani sielewi chochote kuhusu akaunti hiyo,
sina akauti Facebook nashangaa sana kwa hilo swala wasitake
kunichafulia,” alisema Lulu.