ANTI LULU AMFUNDA DAVINA.



Lulu Mathias Semagongo ‘Anti Lulu’ (kulia) akimfunda msanii mwenzake, Halima Yahya ‘Davina’ (kushoto).
Tukio hilo lilichukua nafasi kwenye sherehe ya kuzaliwa kwa Zuena Mohammed ‘Shilole’ iliyofanyika Kinondoni jijini Dar ambapo mwishoni mwa sherehe hiyo, Anti Lulu alimuweka chini Davina na kumpa maneno yatakayomsaidia kuidumisha ndoa yake. 


Twitter Delicious Facebook Digg Favorites More