LADY JAYDEE NA MUME WAKE WAENDELEA VYEMA NA SAFARI YA KUPANDA MLIMA KILIMANJARO....


Jana Lady Jaydee akiwa na mumewe Gadner G Habash walianza safari yao ya kuupanda mlima Kilimanjaro kwa kupitia njia ya Marangu.Safari hiyo ya siku sita inaongozwa na kampuni ‘Kilidove Tours and Safaris Ltd’ ya Arusha.


Wengine wanaoongozana nao ni mpiga picha wake Justin Bayo.
Picha ya pamoja 
Picha ya pamoja.
Lady Jaydee akisalimiana na Mhifadhi Mkuu wa Hifadhi ya KINAPA Erastus Lufungilo kabla ya kuanza safari.
Lady Jaydee akisalimiana na Mhifadhi Mkuu wa Hifadhi ya KINAPA Erastus Lufungilo kabla ya kuanza safari. 
Lady akiwa kweye ofisi ya Mhifadhi mkuu wa KINAPA 
 Lady akiwa kweye ofisi ya Mhifadhi mkuu wa KINAPA .

Wakijiandaa na safari 
Wakijiandaa na safari 
DSC_0550 
Lady Jaydee akiwa na mumewe Gadner 
Lady Jaydee akiwa na mumewe Gadner.
Jide na mpiga picha wake 
Jide na mpiga picha wake.  


Twitter Delicious Facebook Digg Favorites More