Walter amesema kuwa maneno ya Nay hayana ukweli wowote na yeye anaishi vizuri na hadhani kama Nay wa mitego alikaa chini na kufikiria kabla ya kuongea kuhusiana na issue hii katika wimbo wake, wala hakufanya uchunguzi wowote ambao uliomhusisha yeye.

Walter amemaliza kwa kusema kuwa, Maneno haya hayamuumizi kwa vile hayana ukweli wowote, na vilevile hayawezi kumuondolea mashabiki wake.